Kijana alionekana anaruka kutoka Juu ya Pantoni (Kivuko) mbele kidogo baada ya Pantoni hiyo MV. Magogoni kuanza safari zake, huku abiria wengi wakiwa wameacha viti vyao na kuendelea kushangaa.
Wasafiri walipigwa butwaa zaidi kuona kasi ya vijana hao inazidi kuongezeka na huyu kijanda ndiye aliyekuwa anafunga dimba la kuzamia majini.
Ni zaidi ya Vijana 9 wote walipanda Pantoni ya MV. Magogoni bila ulinzi wowote na baadae kupiga mbizi wakitokea katika Pantoni hilo.
PICHA ZOTE NA DAR ES SALAAM YETU
0 comments: