Basi la Allys toka arusha kwenda Mwanza limeacha njia na kuingia kwenye mteremko wa mlima Sekenge. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo break zilifelI. Watu wote wametoka salama.
Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya
habari na mawasiliano ya umma
0 comments: