Basi laacha njia mteremko wa Sekenke Singida

1536653_682554745130706_1576428508_n
Basi la Allys toka arusha kwenda Mwanza limeacha njia na kuingia kwenye mteremko wa mlima Sekenge. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo break zilifelI. Watu wote wametoka salama.
1488031_682554915130689_597780064_n

Author

Written by DK

Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma

0 comments: