safarimoja
News Alart: Ndege yapotea ikiwa angani, imebeba abiria 34
Posted by
Tabianchi
at 5:12 AM -
0 comments
Ndege ya Msumbiji yapotea angani ikiwa na watu 34, ilikuwa ikitoka Maputo kwenda Luanda, Angola. Hadi sasa haijajulikana imepatwa na balaa gani.
Chanzo mwananchi asubuhi hii
Author
Written by
DK
Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma
0 comments:
Newer Post
Home
Older Post
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Follow Us
ZILIZOSOMWA ZAIDI
Basi la Dar Express lapinduka
Zaidi ya abiria 5,000 magari 100 yakwama eneo la Wami
Picha sita za muonekano wa jengo jipya la uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) baada ya ujenzi kukamilika
Blog Archive
Blog Archive
November (1)
May (3)
April (21)
March (24)
February (21)
January (18)
December (50)
November (14)
Powered by
Blogger
.
0 comments: