BASI LA BUKOBA EXPRESS LAPATA AJALI MAENEO YA ISAKA KAHAMA

MUONEKANO WA BASI LA BUKOBA EXPRESS  T 315 BLC  BAADA YA KUANGUKA WILAYANI KAHAMA.
BASI LILIKUWA LINATOKEA DAR ES SALAAM KUELEKEA MKOANI BUKOBA.KWA TAARIFA ZA HARAKA HAMNA VIFO VYA WATU BALI KUNA MAJERUHI 31 OCD AMETHIBITISHA HILI. 

Chanzo: DJ Sek

Author

Written by DK

Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma

0 comments: