MRADI WA UJENZI WA RELI KUTOKA MOMBASA - DAR ES SALAAM


Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi hatimaye utaendelea, baada ya kutiwa saini makubaliano ya ufadhili kati ya serikali ya Uchina na Kenya. Reli hiyo itakayoendelezwa hadi Kigali na Juba imenuiwa kuunganisha mataifa ya 7 ya eneo la Afrika Mashariki yakiwemo Kenya, Uganda,Tanzania, Rwanda, Burundi, Sudan Kusini na Ethiopia. Kenya ambayo imepata ufadhili wa asilimia 90 ya sehemu yake ya mradi huo Utagharimu kiasi cha Dola bilioni 3.7 itawasilisha leo mchango wake wa asilimia kumi kwa serikali ya China.
chanzo DW (J M)

Author

Written by DK

Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma

0 comments: