Zingatia haya unaponunua tairi za gari


Ni muhimu kuzingatia vipimo unaponunua tairi za gari yako for a safe and comfortable drive.


Tairi zikitofautiana even a single dimension ni tatizo.

Tairi mbili za mbele na tairi mbili za nyuma au tairi zote lazima zilingane vipimo.

Namna ya kuangalia vipimo vya tairi :

Mfano tairi imeandikwa 205/70R14 au P 205/70R14 maana yake;

P = Passenger ie gari binafsi au ya abiria
205 = Upana wa tairi ni 205mm
70 = Urefu wa tairi ( kutoka ardhini hadi inapoanza rim) ni 70% ya Upana.
R = Muundo wa tairi ni Radial
14 = Diameter ya rim ni 14 inch.

Vipimo vinakuwa kwa mfumo kama ilivyo katika mfano huo hapo juu na vinaandikwa pembeni kwenye tairi.

Angalia mfano wa picha hapo chini.

Author

Written by DK

Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma

0 comments: