News Alert: Mabasi sita ya abood yashikiliwa kwa kuzidisha uzito mizani ya kibaha usiku huu

Habari zilizotufikia muda huu ni kwamba Abiria wa mabasi sita ya Abood wamebaki njia panda baada ya magari waliokuwa wakisafiria kuzuiliwa kwenye mizani ya ya kibaha baada ya kuzidisha uzito. Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi hapa

Author

Written by DK

Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma

0 comments: