Habari zilizotufikia muda huu ni kwamba Abiria wa mabasi sita ya Abood wamebaki njia panda baada ya magari waliokuwa wakisafiria kuzuiliwa kwenye mizani ya ya kibaha baada ya kuzidisha uzito. Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi hapa
Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya
habari na mawasiliano ya umma
0 comments: