UPDATES: DALADALA MWANZA ZAGOMA KUSAFIRISHA ABIRIA

 Hili ni Gari dogo likiwa limebeba abiria , na baadae madereva wa daladala kusimamisha na kushusha abiria hao. huku abiria wengine wakiwa hawana cha kufanya kutokana na kukosa usafiri.
 Toyo Kilimo kwanza ikiwa imeacha kubeba mizigo shambani na kubeba abiria kutokana na shida ya usafiri jijini Mwanza mda huu baada ya madereva kugoma.


Author

Written by DK

Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma

0 comments: