Kutokana na tatizo la barabara limepelekea kuchelewa kwa kufika katika vituo kwa haraka ili abiria waweze kuelekea kwenye majukumu yao ya kila siku.
Dereva na Konda baaada ya kumuona mwandishi BK walieleza malalamiko yao juu ya barabara za uswazi zilivyosahulika.
“Dahh maeneo mengi ya barabara za uswahilini yapo ovyo sana so inatuchukua muda mrefu kufika stand sehemu ya kwenda kwa nusu saa mtu unatumia takribani masaa 4, so tunaomba serikali iyangalie na barabara za uswahilini ambazo zinasaidia kupunguza jam kwenye barabara kuu, pamoja na hivyo boss anadai chake kwa hali hii itakuwa ugomvi kila siku na mabosi wetu.”
Uswahili kumesahulika serikali inaombwa kuzikarabati barabara ili kuondokana na adha hizi za foleni.
0 comments: