

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Dkt. Makongoro Mahanga akizungumza machache kwenye Tamasha hilo kabla ya Kumkaribisha Mgeni Rasmi kwenye Tamasha hilo


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akikabidhi Zawadi kwa Afisa wa Mfuko wa PSPF kwa kutoa Mchambo mkubwa kwa Waendesha Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam.

Mwenyekiti
wa Chama cha Waendesha Pikipiki Wilaya ya Ilala,Michael Roewe akisoma
Risala yao mbele ya Mgeni Rasmi,Mh. Edward Lowassa (hayupo pichani)
wakati wa Tamasha Maalum la Bodaboda lililofanyika leo kwenye Viwanja
vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam.
Afisa
mwandamizi wa fedha wa PSPF, Hidaya Mganga akimsaidia kujaza fomu mmoja
wa waendesha bodaboda aliyejitokeza kujiunga na mpango wa uchangiaji wa
hiari wa PSPF
Wakati tamasha hilo likiendelea waendesha bodaboda wengi walifurika kwenye banda la mfuko wa pensheni wa PSPF kujisajili na kujiunga na mpango wa hiari wa uchangiaji PSS.
Afisa wa mpango wa hiari Mwajuma Ali akipitia fomu za usajili wakati wa tamasha hilo
Afisa wa uendeshaji PSPF, Halima Isaa akiwaelekeza namna ya kujaza fomu za kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari PSS
Mtumishi wa PSPF akigawa vipeperushi kwa waendesha bodaboda vinavyoeleza namna ya kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari
Afisa fedha wa PSPF, Reginald Msafiri akigawa vipeperushi
Msanii Linex akifanya yake Viwanjani hapo mapema leo.
Watumishi wa PSPF katika picha ya pamoja
0 comments: