NEWS UPDATES:ABIRIA WOTE WA KWENYE KIVUKO WAMEOKOLEWA BADO MIZIGO NA MAGARI



Kivuko kikubbwa cha Mv Magogoni kimepoteza mwelekeo wake, kwa kawaida huwa kinatokea kivukoni na kuelekea kigamboni... lakini  leo kimepoteza mwelekeo nakuelekea njia ya Meli kubwa, abiria wote wamekolewa ila bado magari na mizigo.
chanzo- EATV

Author

Written by DK

Napenda kusafiri, hasa kutembelea kila mkoa katika nchi yangu nzuri Tanzania, nafanya hivyo maana hiyo ndio njia niliyochukua katika kutumikia taaluma yangu ya habari na mawasiliano ya umma

0 comments: