Kutokana
na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi hivi sasa wilayani Makete,
zimeshaanza kuleta madhara baada ya magari kuanza kuteleza kutokana na
aina ya kifusi kilichomwagwa katika eneo la Mang'oto wilayani Makete
barabara ya Makete - Njombe, kuteleza kupita kiasi
Pichani
hapo juu ni basi ma Mwafrika linalofanya safari zake kati ya
Iringa-Makete likiwa limekwama kwa muda Kutokana na mvua zinazonyesha
wilayani Makete, na hapa ni katika kata ya Mang'oto wilayani hapo, mita
chache tu kabla ya kufika kwenye lami
Hii
inatokana na kifusi kilichowekwa kwenye barabara hiyo kuonekana na
utelezi wa hali ya juu pindi mvua inaponyesha hata kwa sekunde chache
Na Edwin Moshi
0 comments: